1 Wafalme 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo akamwambia Eliya: “Nina nini nawe,+ Ee mtu wa Mungu wa kweli? Umekuja kwangu ili kurudisha kumbukumbu la kosa langu+ na kumuua mwanangu.” Yakobo 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wewe unaamini kuna Mungu mmoja, sivyo?+ Unafanya vema kabisa. Hata hivyo roho waovu nao wanaamini na kutetemeka.+
18 Ndipo akamwambia Eliya: “Nina nini nawe,+ Ee mtu wa Mungu wa kweli? Umekuja kwangu ili kurudisha kumbukumbu la kosa langu+ na kumuua mwanangu.”
19 Wewe unaamini kuna Mungu mmoja, sivyo?+ Unafanya vema kabisa. Hata hivyo roho waovu nao wanaamini na kutetemeka.+