Mathayo 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na, tazama! wakapaaza sauti, na kusema: “Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu?+ Je, umekuja hapa kututesa+ kabla ya wakati uliowekwa?”+ Luka 4:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Ah! Tuna nini nawe,+ Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu wa Mungu.”+ Waebrania 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 lakini kuna tarajio hakika lenye kuogopesha la hukumu+ na kuna wivu unaowaka moto ambao utawateketeza wale wanaopinga.+ Waebrania 10:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ni jambo lenye kuogopesha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.+
29 Na, tazama! wakapaaza sauti, na kusema: “Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu?+ Je, umekuja hapa kututesa+ kabla ya wakati uliowekwa?”+
34 “Ah! Tuna nini nawe,+ Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu wa Mungu.”+
27 lakini kuna tarajio hakika lenye kuogopesha la hukumu+ na kuna wivu unaowaka moto ambao utawateketeza wale wanaopinga.+