Marko 1:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa hiyo akawaponya wengi waliokuwa na magonjwa ya namna mbalimbali,+ naye akafukuza roho waovu wengi, lakini hakuwa akiwaruhusu roho waovu waseme, kwa sababu walijua kuwa yeye ni Kristo.+
34 Kwa hiyo akawaponya wengi waliokuwa na magonjwa ya namna mbalimbali,+ naye akafukuza roho waovu wengi, lakini hakuwa akiwaruhusu roho waovu waseme, kwa sababu walijua kuwa yeye ni Kristo.+