Marko 1:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa hiyo akawaponya wengi waliokuwa na magonjwa ya namna mbalimbali,+ naye akafukuza roho waovu wengi, lakini hakuwa akiwaruhusu roho waovu waseme, kwa sababu walijua kuwa yeye ni Kristo.+ Luka 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo akawaita pamoja wale kumi na wawili, akawapa nguvu na mamlaka juu ya roho wote waovu na za kuponya magonjwa.+ Luka 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo wale 70 wakarudi wakiwa na shangwe, wakisema: “Bwana, hata roho waovu wanatiishwa+ kwetu kwa kutumia jina lako.”
34 Kwa hiyo akawaponya wengi waliokuwa na magonjwa ya namna mbalimbali,+ naye akafukuza roho waovu wengi, lakini hakuwa akiwaruhusu roho waovu waseme, kwa sababu walijua kuwa yeye ni Kristo.+
9 Ndipo akawaita pamoja wale kumi na wawili, akawapa nguvu na mamlaka juu ya roho wote waovu na za kuponya magonjwa.+
17 Ndipo wale 70 wakarudi wakiwa na shangwe, wakisema: “Bwana, hata roho waovu wanatiishwa+ kwetu kwa kutumia jina lako.”