Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 1:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa hiyo akawaponya wengi waliokuwa na magonjwa ya namna mbalimbali,+ naye akafukuza roho waovu wengi, lakini hakuwa akiwaruhusu roho waovu waseme, kwa sababu walijua kuwa yeye ni Kristo.+

  • Luka 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo akawaita pamoja wale kumi na wawili, akawapa nguvu na mamlaka juu ya roho wote waovu na za kuponya magonjwa.+

  • Luka 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo wale 70 wakarudi wakiwa na shangwe, wakisema: “Bwana, hata roho waovu wanatiishwa+ kwetu kwa kutumia jina lako.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki