Kumbukumbu la Torati 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Alisema hivi: “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akawaangazia kutoka Seiri. Aliangaza kwa utukufu kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Na mashujaa wake kwenye mkono wake wa kuume.+
2 Alisema hivi: “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akawaangazia kutoka Seiri. Aliangaza kwa utukufu kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Na mashujaa wake kwenye mkono wake wa kuume.+