Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini Mungu akamwambia Balaamu: “Usiende pamoja nao. Usiwalaani watu hao,+ kwa maana wamebarikiwa.”+

  • Kumbukumbu la Torati 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa sababu hawakuja kuwasaidia+ kwa mkate na maji njiani mlipokuwa mkitoka Misri,+ na kwa sababu walimkodi juu yako Balaamu yule mwana wa Beori kutoka Pethori ya Mesopotamia, ili akulaani.+

  • Mhubiri 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hili ndilo jambo lenye msiba katika yote ambayo yamefanywa chini ya jua, ya kwamba, kwa sababu wote hufikiwa na mwisho uleule,+ moyo wa wana wa binadamu pia umejaa mabaya;+ na kuna wazimu+ mioyoni mwao wakati wa maisha yao, na baada ya hayo—ni kwenda kwa wafu!+

  • 2 Petro 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wameiacha njia iliyo nyoofu, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu,+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki