Matendo 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Katika Damasko kulikuwa na mwanafunzi fulani aliyeitwa Anania,+ naye Bwana akamwambia katika maono: “Anania!” Akasema: “Mimi hapa, Bwana.”
10 Katika Damasko kulikuwa na mwanafunzi fulani aliyeitwa Anania,+ naye Bwana akamwambia katika maono: “Anania!” Akasema: “Mimi hapa, Bwana.”