Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 103:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mbarikini Yehova, enyi malaika zake,+ mlio na uwezo katika nguvu, mnaolitenda neno lake,+

      Kwa kuisikiliza sauti ya neno lake.+

  • Zaburi 103:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mbarikini Yehova, enyi majeshi yake yote,+

      Enyi wahudumu wake, mnaofanya mapenzi yake.+

  • Danieli 4:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “ ‘Na kwa sababu mfalme aliona mlinzi, aliye mtakatifu,+ akishuka kutoka mbinguni, ambaye pia alikuwa akisema: “Ukateni mti uanguke, na kuuharibu. Hata hivyo, kiacheni kisiki chake katika udongo, lakini kikiwa na pingu ya chuma na ya shaba, katikati ya majani ya mwituni, na kilowane maji kwa umande wa mbinguni, fungu lake na liwe pamoja na wanyama wa mwituni mpaka nyakati saba zipite juu yake,”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki