Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nikaanza kumsikia yule mtu aliyevaa kitani, ambaye alikuwa juu ya maji ya ule mto, alipoinua mkono wake wa kuume na mkono wake wa kushoto kuelekea mbingu na kuapa+ kwa Yule aliye hai kwa wakati usio na kipimo:+ “Itakuwa ni kwa wakati uliowekwa, nyakati zilizowekwa na nusu ya wakati.+ Na mara tu baada ya kuvunjwa vipande-vipande kwa nguvu za watu watakatifu kutakapokwisha,+ mambo hayo yote yatakwisha.”

  • Ufunuo 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini kwa habari ya ua ulio nje+ ya patakatifu pa hekalu, utupe nje kabisa wala usiupime, kwa sababu mataifa+ wamepewa huo, nao watalikanyagia chini ya miguu lile jiji takatifu+ kwa miezi 42.+

  • Ufunuo 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nitawafanya mashahidi wangu wawili+ watoe unabii+ kwa siku 1,260 wakiwa wamevikwa nguo za magunia.”+

  • Ufunuo 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye akapewa kinywa kinachosema mambo makuu+ na makufuru,+ naye akapewa mamlaka ya kutenda kwa miezi 42.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki