Danieli 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na nguvu zake zitakuwa nyingi sana, lakini si kwa uwezo wake mwenyewe.+ Naye atasababisha uharibifu kwa njia ya ajabu,+ naye atafanikiwa na kutenda kwa njia yenye matokeo. Naye atawaharibu wenye nguvu, pamoja na watu watakatifu.+ Mathayo 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+ Ufunuo 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na wakiisha kumaliza kutoa ushahidi wao, yule mnyama-mwitu anayepanda kutoka katika abiso+ atapigana vita nao na kuwashinda na kuwaua.+
24 Na nguvu zake zitakuwa nyingi sana, lakini si kwa uwezo wake mwenyewe.+ Naye atasababisha uharibifu kwa njia ya ajabu,+ naye atafanikiwa na kutenda kwa njia yenye matokeo. Naye atawaharibu wenye nguvu, pamoja na watu watakatifu.+
9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+
7 Na wakiisha kumaliza kutoa ushahidi wao, yule mnyama-mwitu anayepanda kutoka katika abiso+ atapigana vita nao na kuwashinda na kuwaua.+