Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 8:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na nguvu zake zitakuwa nyingi sana, lakini si kwa uwezo wake mwenyewe.+ Naye atasababisha uharibifu kwa njia ya ajabu,+ naye atafanikiwa na kutenda kwa njia yenye matokeo. Naye atawaharibu wenye nguvu, pamoja na watu watakatifu.+

  • Mathayo 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+

  • Ufunuo 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na wakiisha kumaliza kutoa ushahidi wao, yule mnyama-mwitu anayepanda kutoka katika abiso+ atapigana vita nao na kuwashinda na kuwaua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki