10 Nayo ikaendelea kuwa kubwa ikalifikia jeshi la mbinguni,+ hivi kwamba ikaangusha mpaka duniani sehemu ya jeshi hilo na sehemu ya nyota,+ nayo ikazikanyaga.+
10 Ikiwa yeyote amekusudiwa kwenda utekwani, yeye huenda zake utekwani.+ Ikiwa yeyote ataua kwa upanga, yeye lazima atauawa kwa upanga.+ Hapa ndipo panapomaanisha uvumilivu+ na imani+ ya watakatifu.+