Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nayo ikaendelea kuwa kubwa ikalifikia jeshi la mbinguni,+ hivi kwamba ikaangusha mpaka duniani sehemu ya jeshi hilo na sehemu ya nyota,+ nayo ikazikanyaga.+

  • Ufunuo 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ikiwa yeyote amekusudiwa kwenda utekwani, yeye huenda zake utekwani.+ Ikiwa yeyote ataua kwa upanga, yeye lazima atauawa kwa upanga.+ Hapa ndipo panapomaanisha uvumilivu+ na imani+ ya watakatifu.+

  • Ufunuo 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa sababu waliimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,+ nawe umewapa damu+ wanywe. Wanastahili hilo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki