Luka 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye Ibilisi akamwambia: “Hakika nitakupa mamlaka+ yote hii na utukufu wake, kwa sababu nimepewa, na yeyote ninayetaka mimi humpa.+ Ufunuo 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi yule mnyama-mwitu niliyemwona alikuwa kama chui,+ lakini miguu yake ilikuwa kama ya dubu,+ na kinywa chake kilikuwa kama kinywa cha simba.+ Na yule joka+ mkubwa akampa huyo mnyama nguvu zake na kile kiti chake cha ufalme na mamlaka kubwa.+ Ufunuo 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akapewa ruhusa+ ya kupigana vita na watakatifu na kuwashinda,+ naye akapewa mamlaka juu ya kila kabila na watu na lugha na taifa.
6 naye Ibilisi akamwambia: “Hakika nitakupa mamlaka+ yote hii na utukufu wake, kwa sababu nimepewa, na yeyote ninayetaka mimi humpa.+
2 Basi yule mnyama-mwitu niliyemwona alikuwa kama chui,+ lakini miguu yake ilikuwa kama ya dubu,+ na kinywa chake kilikuwa kama kinywa cha simba.+ Na yule joka+ mkubwa akampa huyo mnyama nguvu zake na kile kiti chake cha ufalme na mamlaka kubwa.+
7 Naye akapewa ruhusa+ ya kupigana vita na watakatifu na kuwashinda,+ naye akapewa mamlaka juu ya kila kabila na watu na lugha na taifa.