Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 4:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Na mwishoni mwa siku zile,+ mimi, Nebukadneza, niliinua macho yangu juu kuelekea mbinguni,+ ndipo uelewaji wangu ukaanza kurudi kwangu; nami nikambariki Aliye Juu Zaidi,+ nami nikamsifu na kumtukuza Yeye anayeishi mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa maana utawala wake ni utawala wa mpaka wakati usio na kipimo na ufalme wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+

  • Ufunuo 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wakati wowote hao viumbe hai wanapompa utukufu na heshima na shukrani+ Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme,+ Yule anayeishi milele na milele,+

  • Ufunuo 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki