3 Jinsi zilivyo kuu ishara zake, na jinsi maajabu yake yalivyo yenye nguvu!+ Ufalme wake ni ufalme wa mpaka wakati usio na kipimo,+ na utawala wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+
7 Nami nitamfanya yeye aliyekuwa akichechemea awe mabaki,+ na yeye aliyekuwa ameondolewa mbali awe taifa lenye uwezo;+ na Yehova atatawala juu yao akiwa mfalme katika Mlima Sayuni, kutoka sasa na kuendelea mpaka wakati usio na kipimo.+