Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kwa maana mimi nainua mkono wangu kuelekea mbinguni kwa kiapo,+

      Nami ninasema: “Kama nilivyo hai mpaka wakati usio na

      kipimo,”+

  • Ayubu 27:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Kama Mungu anavyoishi,+ ambaye ameiondoa hukumu yangu,+

      Na kama Mweza-Yote anavyoishi, ambaye ameitia uchungu nafsi yangu,+

  • Yeremia 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na hakika wewe ukiapa,+ ‘Kama anavyoishi Yehova katika kweli,+ katika haki na katika uadilifu!’+ ndipo kwa kweli mataifa yatajibariki katika yeye, nayo yatajisifu katika yeye.”+

  • Yeremia 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Na itatukia kwamba ikiwa kwa hakika watajifunza njia za watu wangu katika kuapa kwa jina langu,+ ‘Kama anavyoishi Yehova!’ kama walivyowafundisha watu wangu kuapa kwa Baali,+ wao pia watajengwa katikati ya watu wangu.+

  • Ufunuo 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na yule malaika niliyemwona amesimama juu ya bahari na juu ya dunia akainua mkono wake wa kuume kuelekea mbinguni,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki