27 Alipomjia yule mtu wa Mungu wa kweli katika mlima, mara moja akamshika miguu yake.+ Ndipo Gehazi akaja karibu ili amsukume aondoke,+ lakini mtu wa Mungu wa kweli+ akasema: “Mwache,+ kwa maana nafsi yake ina uchungu+ ndani yake; na Yehova amenificha+ jambo hilo wala hakuniambia.”