Mwanzo 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye Yehova akasema: “Je, nimfiche Abrahamu jambo ninalofanya?+ Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+