Ayubu 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa nikiwachagulia njia, nami nilikuwa nikikaa kama kichwa;Nami nilikaa kama mfalme katikati ya majeshi yake,+Kama mtu anayewafariji waombolezaji.+ 2 Wakorintho 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ambaye hutufariji katika dhiki yetu yote,+ ili tuweze kuwafariji+ wale walio katika namna yoyote ya dhiki kupitia faraja ambayo sisi wenyewe tunafarijiwa na Mungu.+ 1 Wathesalonike 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo endeleeni kufarijiana na kujengana,+ kama vile mnavyofanya.+
25 Nilikuwa nikiwachagulia njia, nami nilikuwa nikikaa kama kichwa;Nami nilikaa kama mfalme katikati ya majeshi yake,+Kama mtu anayewafariji waombolezaji.+
4 ambaye hutufariji katika dhiki yetu yote,+ ili tuweze kuwafariji+ wale walio katika namna yoyote ya dhiki kupitia faraja ambayo sisi wenyewe tunafarijiwa na Mungu.+