27 Mwanamke huyo alipofika kwa mtu wa Mungu wa kweli mlimani, mara moja akamshika miguu.+ Ndipo Gehazi akamkaribia ili amsukume mbali, lakini mtu wa Mungu wa kweli akasema: “Mwache, kwa maana ana uchungu mwingi sana, na Yehova amenificha jambo hilo na hajaniambia.”