Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Naye atasema maneno mabaya kumhusu yule Aliye Juu Zaidi,+ naye atawasumbua bila kikomo watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi.+ Na yeye atakusudia kubadili nyakati+ na sheria,+ na wao watatiwa mkononi mwake kwa wakati mmoja, na nyakati na nusu ya wakati.+

  • Ufunuo 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini kwa habari ya ua ulio nje+ ya patakatifu pa hekalu, utupe nje kabisa wala usiupime, kwa sababu mataifa+ wamepewa huo, nao watalikanyagia chini ya miguu lile jiji takatifu+ kwa miezi 42.+

  • Ufunuo 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na mwanamke yule akakimbilia nyikani,+ ambapo ana mahali palipotayarishwa na Mungu, ili wamlishe+ hapo siku 1,260.+

  • Ufunuo 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini yule mwanamke akapewa mabawa mawili ya tai mkubwa,+ ili aruke kwenda nyikani+ mahali pake; hapo ndipo anapolishwa+ kwa wakati na nyakati na nusu ya wakati+ mbali na uso wa yule nyoka.+

  • Ufunuo 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye akapewa kinywa kinachosema mambo makuu+ na makufuru,+ naye akapewa mamlaka ya kutenda kwa miezi 42.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki