3Basi nyoka+ alikuwa mwenye kujihadhari+ kuliko wanyama wote wa mwituni ambao Yehova Mungu alikuwa amewafanya.+ Kwa hiyo akaanza kumwambia mwanamke:+ “Je, ni kweli kwamba Mungu alisema msile matunda ya kila mti wa bustani?”+
3 Lakini naogopa kwamba kwa njia fulani, kama nyoka alivyomshawishi Hawa+ kwa ujanja wake, huenda akili zenu zikaharibiwa+ kutoka kwenye unyoofu wa moyo na usafi wa kiadili ambao unamfaa Kristo.+