1 Wafalme 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Alipoangalia, na tazama, pale karibu na kichwa chake palikuwa na keki ya mviringo+ juu ya mawe yenye moto na gudulia la maji. Naye akaanza kula na kunywa, kisha akalala chini tena. Methali 30:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maneno yasiyo ya kweli na ya uwongo uyaondolee mbali nami.+ Usinipe umaskini wala utajiri.+ Acha nile chakula nilichoamriwa,+
6 Alipoangalia, na tazama, pale karibu na kichwa chake palikuwa na keki ya mviringo+ juu ya mawe yenye moto na gudulia la maji. Naye akaanza kula na kunywa, kisha akalala chini tena.
8 Maneno yasiyo ya kweli na ya uwongo uyaondolee mbali nami.+ Usinipe umaskini wala utajiri.+ Acha nile chakula nilichoamriwa,+