Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo mwanamke yule akasema: “Kama anavyoishi Yehova Mungu wako,+ mimi sina keki yoyote ya mviringo,+ isipokuwa mkono mmoja tu+ wa unga katika mtungi mkubwa na mafuta kidogo+ katika mtungi mdogo; na tazama, ninakusanya kuni chache, nami nitaenda kutayarisha kitu kwa ajili yangu na mwanangu, nasi tutakula chakula hicho na kufa.”+

  • Isaya 33:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yeye ndiye atakayekaa juu katika vilele;+ kilele chake kilicho salama kitakuwa mahali penye miamba ambapo ni pagumu kufikiwa.+ Hakika atapewa mkate wake;+ chemchemi yake ya maji haitaisha.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki