- 
	                        
            
            1 Wafalme 17:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        12 Ndipo mwanamke huyo akasema: “Kwa hakika kama Yehova Mungu wako anavyoishi, sina mkate, nina konzi moja tu ya unga katika mtungi mkubwa na mafuta kidogo katika mtungi mdogo.+ Sasa ninaokota kuni chache tu, kisha niende nyumbani na kupika chakula kidogo kwa ajili yangu na mwanangu. Baada ya kula chakula hicho, tutakufa.” 
 
-