2 Wafalme 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+ 2 Wafalme 19:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Atarudi kupitia ile njia aliyoijia, naye hataingia ndani ya jiji hili, asema Yehova.+
28 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+