28 Na roho yake ni kama mto unaofurika ambao hufika mpaka shingoni,+ ili kuyarusha mataifa huku na huku kwa kichujio+ cha ubatili; na lijamu+ inayomfanya mtu kwenda huku na huku itakuwa katika taya za vikundi vya watu.+
4 Nami hakika nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako+ na kukutoa pamoja na jeshi lako lote,+ farasi na wapanda-farasi, wote wakiwa wamevaa mavazi yenye kupendeza,+ kutaniko kubwa sana, lenye ngao kubwa na ngao ndogo, wote wakiwa na panga;+
2 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameapa kwa utakatifu wake,+ ‘ “Tazama! Kuna siku zinazokuja juu yenu, naye atawainua ninyi kwa kulabu za mchinjaji na sehemu yenu ya mwisho kwa ndoano.+