Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+

      Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+

      Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+

  • Zaburi 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa nini mwovu amekosa kumheshimu Mungu?+

      Amesema katika moyo wake: “Wewe hutatoza hesabu.”+

  • Zaburi 46:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mataifa yakawa na msukosuko,+ falme zikatikisika;

      Akavumisha sauti yake, dunia ikayeyuka.+

  • Isaya 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Je, shoka litajiinua juu ya mtu anayekata akilitumia, au msumeno kujitukuza juu ya mtu anayeusogeza mbele na nyuma, kana kwamba fimbo iliwasogeza mbele na nyuma wale wanaoiinua juu, kana kwamba fimbo ilimwinua juu yeye ambaye si mti?+

  • Isaya 37:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juu yake?

      Nawe umepaaza sauti+ yako juu ya nani

      Na kuinua macho+ yako juu?

      Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki