Zaburi 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+ Zaburi 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa nini mwovu amekosa kumheshimu Mungu?+Amesema katika moyo wake: “Wewe hutatoza hesabu.”+ Zaburi 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mataifa yakawa na msukosuko,+ falme zikatikisika;Akavumisha sauti yake, dunia ikayeyuka.+ Isaya 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Je, shoka litajiinua juu ya mtu anayekata akilitumia, au msumeno kujitukuza juu ya mtu anayeusogeza mbele na nyuma, kana kwamba fimbo iliwasogeza mbele na nyuma wale wanaoiinua juu, kana kwamba fimbo ilimwinua juu yeye ambaye si mti?+ Isaya 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juu yake?Nawe umepaaza sauti+ yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+
2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+
15 Je, shoka litajiinua juu ya mtu anayekata akilitumia, au msumeno kujitukuza juu ya mtu anayeusogeza mbele na nyuma, kana kwamba fimbo iliwasogeza mbele na nyuma wale wanaoiinua juu, kana kwamba fimbo ilimwinua juu yeye ambaye si mti?+
23 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juu yake?Nawe umepaaza sauti+ yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+