Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Zaidi ya hayo, yule mkuu wa walinzi akamchukua Seraya+ mkuu wa makuhani na Sefania+ kuhani wa pili na watunza-milango+ watatu;

  • Yeremia 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Neno+ lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova, wakati Mfalme Sedekia+ alipotuma kwake Pashuri+ mwana wa Malkiya na Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, na kusema:

  • Yeremia 29:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na Sefania+ kuhani akaisoma barua hii masikioni mwa Yeremia nabii.

  • Yeremia 37:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali+ mwana wa Shelemia na Sefania+ mwana wa Maaseya+ kuhani kwa Yeremia nabii, na kusema: “Tafadhali, sali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wetu.”+

  • Yeremia 52:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Zaidi ya hayo, yule mkuu wa walinzi akamchukua Seraya+ mkuu wa makuhani na Sefania+ kuhani wa pili na wale watunza-milango watatu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki