2 Wafalme 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Nenda kwa Hilkia+ kuhani mkuu,+ naye ajumlishe pesa+ zinazoletwa katika nyumba ya Yehova+ ambazo watunza-milango+ wamekusanya kutoka kwa watu; 1 Mambo ya Nyakati 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kati ya hii migawanyo ya watunza-malango, wanaume walio vichwa walikuwa na kazi sawasawa na ndugu zao walivyokuwa nayo,+ kuhudumu katika nyumba ya Yehova.
4 “Nenda kwa Hilkia+ kuhani mkuu,+ naye ajumlishe pesa+ zinazoletwa katika nyumba ya Yehova+ ambazo watunza-milango+ wamekusanya kutoka kwa watu;
12 Kati ya hii migawanyo ya watunza-malango, wanaume walio vichwa walikuwa na kazi sawasawa na ndugu zao walivyokuwa nayo,+ kuhudumu katika nyumba ya Yehova.