Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi Yehoyada kuhani akachukua sanduku,+ akatoboa tundu katika kifuniko chake, akaliweka kando ya madhabahu upande wa kuume mtu anapoingia ndani ya nyumba ya Yehova, na makuhani, watunza-malango,+ wakaweka humo pesa+ zote zilizokuwa zikiletwa katika nyumba ya Yehova.

  • 1 Mambo ya Nyakati 26:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kati ya hii migawanyo ya watunza-malango, wanaume walio vichwa walikuwa na kazi sawasawa na ndugu zao walivyokuwa nayo,+ kuhudumu katika nyumba ya Yehova.

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tena akaweka ile migawanyo+ ya makuhani juu ya utumishi wao kulingana na kanuni ya Daudi baba yake,+ na Walawi+ katika vituo vyao vya kazi, ili kusifu+ na kuhudumu+ mbele ya makuhani kama desturi ya kila siku,+ na watunza-malango katika migawanyo yao kwa ajili ya malango mbalimbali,+ kwa maana hivyo ndivyo ilivyokuwa amri ya Daudi mtu wa Mungu wa kweli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki