1 Mambo ya Nyakati 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na watunza-malango+ walikuwa Shalumu+ na Akubu na Talmoni na Ahimani na kichwa alikuwa ndugu yao Shalumu, 1 Mambo ya Nyakati 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa ajili ya migawanyo ya watunza-malango:+ Wa Wakora,+ Meshelemia+ mwana wa Kore wa wana wa Asafu.
17 Na watunza-malango+ walikuwa Shalumu+ na Akubu na Talmoni na Ahimani na kichwa alikuwa ndugu yao Shalumu,
26 Kwa ajili ya migawanyo ya watunza-malango:+ Wa Wakora,+ Meshelemia+ mwana wa Kore wa wana wa Asafu.