9 Kisha kuhani Yehoyada akachukua sanduku,+ akatoboa tundu kwenye kifuniko chake, akaliweka kando ya madhabahu upande wa kulia unapoingia ndani ya nyumba ya Yehova. Makuhani waliolinda mlangoni waliweka pesa zote zilizoletwa katika nyumba ya Yehova katika sanduku hilo.+