9 Nao wakamjia Hilkia+ kuhani mkuu na kumpa pesa zilizokuwa zikiletwa katika nyumba ya Mungu, ambazo Walawi watunza-milango+ walikuwa wamekusanya kutoka mkononi mwa Manase+ na Efraimu+ na kutoka kwa wale wengine wa Israeli+ na kutoka kwa Yuda wote na Benyamini na wakaaji wa Yerusalemu.