2 Wafalme 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Zaidi ya hayo, yule mkuu wa walinzi akamchukua Seraya+ mkuu wa makuhani na Sefania+ kuhani wa pili na watunza-milango+ watatu; Yeremia 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Neno+ lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova, wakati Mfalme Sedekia+ alipotuma kwake Pashuri+ mwana wa Malkiya na Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, na kusema: Yeremia 52:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Zaidi ya hayo, yule mkuu wa walinzi akamchukua Seraya+ mkuu wa makuhani na Sefania+ kuhani wa pili na wale watunza-milango watatu,+
18 Zaidi ya hayo, yule mkuu wa walinzi akamchukua Seraya+ mkuu wa makuhani na Sefania+ kuhani wa pili na watunza-milango+ watatu;
21 Neno+ lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova, wakati Mfalme Sedekia+ alipotuma kwake Pashuri+ mwana wa Malkiya na Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, na kusema:
24 Zaidi ya hayo, yule mkuu wa walinzi akamchukua Seraya+ mkuu wa makuhani na Sefania+ kuhani wa pili na wale watunza-milango watatu,+