Maombolezo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+ Hosea 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami hakika nitakomesha furaha+ yake yote, sherehe+ yake, mwezi wake mpya+ na sabato yake na majira yake yote ya sherehe. Sefania 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Wale waliopatwa na huzuni+ kwa kutokuwapo kwenye majira yako ya sherehe nitawakusanya pamoja;+ nao hawakuwapo kwako, kwa sababu ya kuchukua shutuma kwa ajili yake.+
4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+
11 Nami hakika nitakomesha furaha+ yake yote, sherehe+ yake, mwezi wake mpya+ na sabato yake na majira yake yote ya sherehe.
18 “Wale waliopatwa na huzuni+ kwa kutokuwapo kwenye majira yako ya sherehe nitawakusanya pamoja;+ nao hawakuwapo kwako, kwa sababu ya kuchukua shutuma kwa ajili yake.+