Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+

      Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+

      Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+

  • Hosea 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami hakika nitakomesha furaha+ yake yote, sherehe+ yake, mwezi wake mpya+ na sabato yake na majira yake yote ya sherehe.

  • Sefania 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Wale waliopatwa na huzuni+ kwa kutokuwapo kwenye majira yako ya sherehe nitawakusanya pamoja;+ nao hawakuwapo kwako, kwa sababu ya kuchukua shutuma kwa ajili yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki