Isaya 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na milango yake italazimika kuomboleza na kuhuzunika,+ naye hakika ataachwa ukiwa. Atakaa chini kwenye udongo.”+ Yeremia 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yuda imeomboleza,+ na malango yake yamefifia.+ Yamehuzunika mpaka chini,+ na hata kilio cha Yerusalemu kimeenda juu.+
26 Na milango yake italazimika kuomboleza na kuhuzunika,+ naye hakika ataachwa ukiwa. Atakaa chini kwenye udongo.”+
2 Yuda imeomboleza,+ na malango yake yamefifia.+ Yamehuzunika mpaka chini,+ na hata kilio cha Yerusalemu kimeenda juu.+