Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nao wakaendelea kuketi+ chini pamoja naye siku saba, mchana na usiku, wala hakuna yeyote aliyemwambia neno lolote, kwa maana waliona kwamba yale maumivu+ ni makali sana.

  • Isaya 47:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Shuka uje uketi mavumbini,+ Ee binti ya Babiloni+ uliye bikira. Keti chini mahali ambapo hakuna kiti cha ufalme,+ Ee binti ya Wakaldayo.+ Kwa kuwa hutaona tena kwamba watu wanakuita wewe mwororo na aliye laini.+

  • Maombolezo 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wanaume wazee wa binti Sayuni wanaketi chini, ambapo wamenyamaza.+

      Wametia mavumbi juu ya vichwa vyao.+ Wamejifunga nguo za magunia.+

      Mabikira wa Yerusalemu wameinamisha vichwa vyao chini kabisa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki