Ayubu 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha wakaketi ardhini pamoja naye kwa siku saba, mchana na usiku. Hakuna yeyote kati yao aliyemwambia neno lolote kwa sababu waliona kwamba alikuwa na maumivu makali sana.+ Ayubu Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:13 w06 3/15 14 Ayubu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:13 Igeni Imani Yao, makala 4 Mnara wa Mlinzi,3/15/2006, uku. 1411/15/1994, uku. 13
13 Kisha wakaketi ardhini pamoja naye kwa siku saba, mchana na usiku. Hakuna yeyote kati yao aliyemwambia neno lolote kwa sababu waliona kwamba alikuwa na maumivu makali sana.+