6 Ndipo Yoshua akararua nguo zake za kujitanda, akaanguka kifudifudi+ mbele ya sanduku la Yehova mpaka jioni, yeye na wanaume wazee wa Israeli, nao wakawa wakitia mavumbi vichwani mwao.+
12 Walipoinua macho yao kutoka mbali hawakumtambua. Ndipo wakapaaza sauti zao, wakalia, wakararua+ kila mmoja koti lake lisilo na mikono na kurusha mavumbi kuelekea mbinguni juu ya vichwa vyao.+