Yeremia 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+ Ezekieli 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wamejifunga nguo za magunia,+ na kutetemeka kumewafunika;+ na nyuso zote zina aibu+ na vichwa vyao vyote vina upara.+ Ezekieli 27:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nao watajitia upara kwa ajili yako,+ na kujifunga nguo za magunia+ na kukulilia wewe kwa uchungu wa nafsi, kwa kuomboleza kwa uchungu.+
26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+
18 Nao wamejifunga nguo za magunia,+ na kutetemeka kumewafunika;+ na nyuso zote zina aibu+ na vichwa vyao vyote vina upara.+
31 Nao watajitia upara kwa ajili yako,+ na kujifunga nguo za magunia+ na kukulilia wewe kwa uchungu wa nafsi, kwa kuomboleza kwa uchungu.+