Ezra 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ikawa kwamba mara tu niliposikia jambo hili nilipasua vazi+ na koti langu lisilo na mikono, nami nikaanza kung’oa sehemu ya nywele za kichwa changu+ na za ndevu zangu, nikaendelea kukaa nikiwa nimepigwa na bumbuazi.+ Isaya 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na milango yake italazimika kuomboleza na kuhuzunika,+ naye hakika ataachwa ukiwa. Atakaa chini kwenye udongo.”+
3 Ikawa kwamba mara tu niliposikia jambo hili nilipasua vazi+ na koti langu lisilo na mikono, nami nikaanza kung’oa sehemu ya nywele za kichwa changu+ na za ndevu zangu, nikaendelea kukaa nikiwa nimepigwa na bumbuazi.+
26 Na milango yake italazimika kuomboleza na kuhuzunika,+ naye hakika ataachwa ukiwa. Atakaa chini kwenye udongo.”+