Isaya 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na milango yake italazimika kuomboleza na kuhuzunika,+ naye hakika ataachwa ukiwa. Atakaa chini kwenye udongo.”+ Yeremia 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa nini tunaketi tuli? Jikusanyeni pamoja, nasi tuingie katika majiji yenye ngome+ na tunyamaze humo. Kwa maana Yehova Mungu wetu ametunyamazisha,+ naye anatupa sisi maji yaliyotiwa sumu tunywe,+ kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi. Maombolezo 3:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Acha aketi katika upweke na kukaa kimya,+ kwa sababu ameweka kitu fulani juu yake.+ Amosi 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi yeye aliye na ufahamu atakaa kimya wakati huo, kwa maana utakuwa wakati wenye taabu.+
26 Na milango yake italazimika kuomboleza na kuhuzunika,+ naye hakika ataachwa ukiwa. Atakaa chini kwenye udongo.”+
14 “Kwa nini tunaketi tuli? Jikusanyeni pamoja, nasi tuingie katika majiji yenye ngome+ na tunyamaze humo. Kwa maana Yehova Mungu wetu ametunyamazisha,+ naye anatupa sisi maji yaliyotiwa sumu tunywe,+ kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi.