Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na milango yake italazimika kuomboleza na kuhuzunika,+ naye hakika ataachwa ukiwa. Atakaa chini kwenye udongo.”+

  • Yeremia 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Kwa nini tunaketi tuli? Jikusanyeni pamoja, nasi tuingie katika majiji yenye ngome+ na tunyamaze humo. Kwa maana Yehova Mungu wetu ametunyamazisha,+ naye anatupa sisi maji yaliyotiwa sumu tunywe,+ kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi.

  • Maombolezo 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Acha aketi katika upweke na kukaa kimya,+ kwa sababu ameweka kitu fulani juu yake.+

  • Amosi 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi yeye aliye na ufahamu atakaa kimya wakati huo, kwa maana utakuwa wakati wenye taabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki