Zaburi 39:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Niliendelea kuwa asiyeweza kusema;+ sikuweza kufungua kinywa changu,+Kwa maana wewe mwenyewe ulichukua hatua.+ Yeremia 15:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sikuketi katika kikundi cha rafiki wanaofanya utani+ na kuanza kufurahi.+ Kwa sababu ya mkono wako nimeketi mimi peke yangu,+ kwa maana wewe umenijaza shutuma.+ Maombolezo 3:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Mwanadamu aliye hai, mwanamume, anawezaje kuzoea kulalamika+ kwa sababu ya dhambi yake?+
9 Niliendelea kuwa asiyeweza kusema;+ sikuweza kufungua kinywa changu,+Kwa maana wewe mwenyewe ulichukua hatua.+
17 Sikuketi katika kikundi cha rafiki wanaofanya utani+ na kuanza kufurahi.+ Kwa sababu ya mkono wako nimeketi mimi peke yangu,+ kwa maana wewe umenijaza shutuma.+