10 Lakini mfalme akasema: “Nina nini nanyi,+ enyi wana wa Seruya?+ Mwacheni alaani+ hivyo, kwa sababu Yehova amemwambia,+ ‘Mlaani Daudi!’ Basi ni nani anayepaswa kusema, ‘Kwa nini ulifanya hivyo?’”+
35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+