2 Samweli 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini mfalme akasema: “Nina nini nanyi, enyi wana wa Seruya?+ Mwacheni anitukane,+ kwa sababu Yehova amemwambia,+ ‘Mtukane Daudi!’ Basi ni nani anayepaswa kumuuliza, ‘Kwa nini unafanya hivi?’”
10 Lakini mfalme akasema: “Nina nini nanyi, enyi wana wa Seruya?+ Mwacheni anitukane,+ kwa sababu Yehova amemwambia,+ ‘Mtukane Daudi!’ Basi ni nani anayepaswa kumuuliza, ‘Kwa nini unafanya hivi?’”