Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Yehova atakufanya wewe na mfalme wako ambaye umemweka juu yako mpige mwendo+ mpaka taifa ambalo hukujua, wala wewe wala mababu zako; na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine, ya miti na ya mawe.+

  • 2 Wafalme 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndivyo alivyompeleka Yehoyakini+ uhamishoni Babiloni;+ na mama+ ya mfalme na wake za mfalme na maofisa wake wa makao+ ya mfalme na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawapeleka wakiwa watu waliohamishwa kutoka Yerusalemu mpaka Babiloni.

  • 2 Wafalme 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+

  • Isaya 39:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 ‘Na baadhi ya wana wako mwenyewe watakaotoka kwako ambao utawazaa, watachukuliwa+ na kuwa maofisa wa makao ya mfalme+ katika jumba la mfalme wa Babiloni.’”+

  • Yeremia 52:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo wakamkamata mfalme na kumleta kwa mfalme wa Babiloni+ kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi,+ ili atangaze maamuzi ya hukumu juu yake.+

  • Maombolezo 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na fahari yote ya binti Sayuni inaondoka.+

      Wakuu wake wamekuwa kama paa ambao hawakupata malisho;+

      Nao wanaendelea kutembea bila nguvu mbele ya yule anayewafuatilia.+

  • Maombolezo 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu,+ mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+

      Yule ambaye tumesema habari zake: “Tutaishi chini ya kivuli+ chake kati ya mataifa.”+

  • Ezekieli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nitautandaza wavu wangu juu yake, naye atakamatwa katika wavu wangu wa kuwindia;+ nami nitampeleka Babiloni, mpaka nchi ya Wakaldayo,+ lakini hataiona; naye atakufa huko.+

  • Danieli 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo mfalme akamwambia Ashpenazi ofisa mkuu wa makao yake ya kifalme+ awalete baadhi ya wana wa Israeli na wa uzao wa kifalme na wa watu wenye vyeo,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki