3 Nawe mwenyewe hutaponyoka kutoka mkononi mwake, kwa sababu bila shaka utakamatwa na kutiwa mkononi mwake.+ Na macho yako yatayaona macho ya mfalme wa Babiloni,+ na kinywa chake kitasema na kinywa chako, nawe utaenda Babiloni.’
11 Naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha mfalme wa Babiloni akamfunga kwa pingu za shaba, akampeleka Babiloni+ na kumtia katika nyumba ya kifungo mpaka siku ya kufa kwake.
16 “ ‘ “Kama ninavyoishi,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “mahali pa mfalme aliyemweka kuwa mfalme yule aliyekidharau kiapo+ chake na ambaye alilivunja agano lake, atakufa pamoja naye katikati ya Babiloni.+