Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+

  • Yeremia 34:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe mwenyewe hutaponyoka kutoka mkononi mwake, kwa sababu bila shaka utakamatwa na kutiwa mkononi mwake.+ Na macho yako yatayaona macho ya mfalme wa Babiloni,+ na kinywa chake kitasema na kinywa chako, nawe utaenda Babiloni.’

  • Yeremia 39:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba, ili ampeleke Babiloni.

  • Yeremia 52:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha mfalme wa Babiloni akamfunga kwa pingu za shaba, akampeleka Babiloni+ na kumtia katika nyumba ya kifungo mpaka siku ya kufa kwake.

  • Ezekieli 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “ ‘ “Kama ninavyoishi,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “mahali pa mfalme aliyemweka kuwa mfalme yule aliyekidharau kiapo+ chake na ambaye alilivunja agano lake, atakufa pamoja naye katikati ya Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki