Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Jueni, basi, kwamba Mungu mwenyewe amenipotosha,

      Naye ameuzungusha wavu wake wa kuwindia juu yangu.+

  • Zaburi 66:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Umetuingiza katika wavu wa kuwindia;+

      Umeweka mkazo juu ya viuno vyetu.

  • Yeremia 52:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo wakamkamata mfalme na kumleta kwa mfalme wa Babiloni+ kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi,+ ili atangaze maamuzi ya hukumu juu yake.+

  • Maombolezo 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kutoka juu ameleta moto katika mifupa yangu,+ naye anatiisha kila mmoja wao.

      Ametandaza wavu kwa ajili ya miguu yangu.+ Amenigeuza nirudi nyuma.

      Amenifanya kuwa mwanamke aliye katika hali ya ukiwa. Siku nzima mimi ni mgonjwa.+

  • Ezekieli 17:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nami nitautandaza wavu wangu juu yake, naye hakika atakamatwa katika wavu wangu wa kuwindia;+ nami nitamleta Babiloni na kujiweka katika hukumu pamoja naye huko kuhusiana na ukosefu wake wa uaminifu alionitendea.+

  • Ezekieli 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na mataifa kuzunguka pande zote kutoka katika wilaya za utawala wakaanza kujipanga dhidi yake+ na kuutandaza wavu wao juu yake.+ Akakamatwa katika shimo lao.+

  • Ezekieli 32:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Pia nitatandaza juu yako wavu+ wangu kwa kutumia kutaniko la vikundi vingi vya watu, nao hakika watakuleta katika wavu wangu wa kukokota.+

  • Hosea 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Sikieni hili, enyi makuhani,+ na mkaze uangalifu, enyi nyumba ya Israeli, na ninyi, enyi nyumba ya mfalme,+ tegeni sikio, kwa maana hukumu hii inawahusu ninyi; kwa maana mmekuwa mtego+ katika Mispa na kama wavu uliotandazwa juu ya Tabori.+

  • Hosea 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Njia yoyote ile wanayoiendea, nitatandaza juu yao wavu wangu.+ Nitawashusha chini kama viumbe vinavyoruka vya mbinguni.+ Nitawatia nidhamu kulingana na habari iliyopelekwa kwenye kusanyiko lao.+

  • Luka 21:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 kama mtego.+ Kwa maana itakuja juu ya wale wote wanaokaa juu ya uso wa dunia yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki