Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana mwanadamu+ pia hajui wakati wake.+ Kama vile samaki wanaonaswa katika wavu mbovu,+ na kama ndege wanaonaswa katika mtego,+ ndivyo wana wa binadamu wenyewe wanavyonaswa wakati wenye msiba,+ unapowaangukia ghafula.+

  • Hosea 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Njia yoyote ile wanayoiendea, nitatandaza juu yao wavu wangu.+ Nitawashusha chini kama viumbe vinavyoruka vya mbinguni.+ Nitawatia nidhamu kulingana na habari iliyopelekwa kwenye kusanyiko lao.+

  • Habakuki 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Je, hiyo ndiyo sababu atamwaga vyote vilivyomo katika wavu wake wa kukokota, na je, anapaswa kuyaua mataifa daima, bila kuonyesha huruma?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki