2 Mambo ya Nyakati 36:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake. Nahumu 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo itakuwa kwamba kila mtu anayekuona atakukimbia+ naye atasema, ‘Ninawi ameporwa! Ni nani atakayemsikitikia?’ Nitakutafutia wapi wafariji?
17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.
7 Ndipo itakuwa kwamba kila mtu anayekuona atakukimbia+ naye atasema, ‘Ninawi ameporwa! Ni nani atakayemsikitikia?’ Nitakutafutia wapi wafariji?